Access Staff Email
a

Talk to Us

Facebook

Twitter

Staff Email
 

Jaji Ongaya azuru mahakama ya Kisumu kukagua utendakazi

The Judiciary > Uncategorized  > Jaji Ongaya azuru mahakama ya Kisumu kukagua utendakazi

Jaji Ongaya azuru mahakama ya Kisumu kukagua utendakazi

Jaji msimamizi wa mahakama ya ajira na mahusiano ya kazi (ELRC) Byram Ongaya akiwa katika ziara ya ukaguzi wa utendakazi katika mahakama ya Kisumu. Jaji Ongaya pamoja na msajili wa mahakama ya ELRC Kennedy Kandet walipokelewa na Jaji wa mahakama hiyo Stephen Radido. Jaji wa mahakama ya rufaa Aggrey Muchelule aliungana nao.nn nn

No Comments

Leave a Comment

Skip to content